EduFocus

Quality Exams

Form 4 kiswahili paper2 MEC joint exams

Published on November 8th 2023 | 3 mins , 476 words

MATUMIZI YA LUGHA ( ALAMA 40)

Tofautisha sauti zifuatazo. (alama 2)

 /ny/ na /m/

  •  /m/ ni ya midomoni 
  • /ny/ ni ya Kakaa gumu

 /a/ na /u/

  • /a/ Chini/kati/tandaze
  • /u/ juu/ nyuma/viringe

Andika neno lenye muundo ufuatao wa silabi.   (alama 1) K-KKI

  • M-bwa, m-pwa, m-chwa, m-kwe

 Ainisha nomino katika sentensi hii.

Kuuza sukari kwa Rehema kulimfanya awe na utajiri. (alama 2)

 Kuuza – kitenzi jina

  • Sukari – wingi
  • Rehema – pekee
  • Utajiri – dhahania

  

Geuza sentensi ifuatayo iwe katika hali yakinishi.

 Mtoto hakupatiwa chakula wala nguo.   (al 1)

  •  Mtoto alipatiwa chakula na nguo

 

Kwa kutoa mifano, ainisha aina mbili za mofimu.   (al 2)

  • Mofimu huru – baba
  • Mofimu tegemezi – a-li-som-a 

Andika katika hali ya ukubwa wingi.  (alama 2)

 Mwanamke alibeba kiti chake.

  • Majanajike yalibeba majikiti yayo.

 b) Ainisha yambwa katika sentensi hii.  (alama 3)

 Mtoto alipikiwa chakula kizuri kwa mwiko.

  •  Mtoto – tendewa/ kitondo Chakula 
  • (kizuri) – tendwa/kipozi
  • Mwiko – tumizi 

c) Tunga sentensi yenye kivumishi cha pekee chenye dhana ya kutojali.     (ala 2)

  •  o-ote 

  

d) Kwa kutunga moja sentensi tofautisha kati ya vitate hivi. (ala 2)

Mzazi na msasi.

  • Mzazi – aliyekuzaa
  • Msasi – mwindaji 

e) Eleza maana ya kiambishi “ji” katika sentensi hii.

Mchezaji alijikata kwa kisu. (ala1)  


  • Mchezaji – unominishaji/mazoea/uundaji wa nomino
  • Alijikata – kirejeshi/kijitendea


f)Taja ngeli za nomino zifuatazo. (ala 1)


Kiwete

  • A/WA

Maji

  • YA/YA

g) Tunga sentensi ukitumia neno vile kama kitenzi na kivumishi.  (alama 2)

  • Vile vyakula vile

     (T)                 (v)

h) Ainisha virai tofauti katika sentensi ifuatayo. (alama 3) 


Mwalimu yule mzuri sana alikuja darasani mapema sana.


  • Mwalimu - RN 
  • Mwalimu yule RN
  • Mwalimu yule mzuri sana RN 
  • Yule mzuri sana RV
  • Alikuja darasani RT 
  • Darasani mapema sana RE
  • Mapema sana RE

i) Onyesha matumizi ya viakifishi vifuatavyo;  (alama 2)


i) kibainishi

  • Kuonyesha ung’ong’o – ng’ombe
  • Kufupisha – usiseme ’siseme

ii) vifungo

  • Kuzingira herufi (a)
  • Maelezo ya ziada
  • j) Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha matawi.  (alama 4)

Kitabu kilichonunuliwa ni hiki.

k) Sahihisha kwa njia mbili tofauti.      (alama 2)


Mwanafunzi alifika katika nyumbani


  • Mwanafunzi alifika nyumbani 
  • Mwanafunzi alifika katika nyumba
  • Mwanafunzi alifika ndani ya nyumba

 

  • Mwanafunzi alifika kwa nyumba


l) Eleza maana ya nahau


 kula mwata.    (alama 1)


  • Kupata shida

Tambulisha hali katika sentensi hii.    (alama 1)


Mtoto acheza.

  •  Hali isiyodhihirika

Andika kulingana na maagizo.      (alama 2)


Mtoto alipoenda Mombasa alijawa na furaha. (anza kwa: Kwenda…)


  • Kwenda kwa mtoto Mombasa kulimfanya awe na furaha ( afurahie).

 

ISIMU JAMII  (ALAMA 10) 


a) Umeteuliwa kama mtangazaji wa mashindano ya michezo baina ya shule katika eneo gatuzi ndogo lenu.

Eleza sifa tano za lugha utakayotumia.    (alama 5)


  • msamiati maalum – mpira, mchezaji, uwanja
  • lugha yenye misimu – sare,
  • lugha ya uradidi – anakwenda anakwenda
  • lugha ya ucheshi –
  • matumizi ya chuku
  • utohozi
  • kuchanganya / kuhamisha msimbo kauli fupifupi
  • matumizi ya vihisishi
  • kauli zisizokamilika (mdokezo)


Jadili mambo matano yanayoathiri matumizi ya lugha katika jamii.

 

  • Umri
  • Mazingira
  • Uhusiano
  • Tabaka
  • Jinsia
  • Mada
  • Wakati 
Download File